Swahili-M/Mi class Flashcards
tree
mti
game/sport
mchezo
ditch/channel
mfereji
tap water
maji ya mfereji
arm/hand
mkono
leg/foot
mguu
town/city
mji
bread
mkate
door
mlango
mountain
mlima
crop/plant
mmea
salary
mshahara
nail
msumari
exam/test
mtihani
river/pillowcase
mto
luggage
mzigo
smoke
moshi
fire/heat
moto
heart
moyo
year
mwaka
mango tree
mwembe
month/moon
mwezi
body
mwili
end
mwisho
beginning
mwanzo
bag
mfuko
this
huu
that
ule
these
hii
those
ile
of (sing)
wa
of (plu)
ya
possessives (sing)
wangu wako wake wetu wenu wao
possessives (plu)
yangu yako yake yetu yenu yao
subject prefix (sing)
u-
subject prefix (plu)
i-
negative subject prefix (sing)
hau-
negative subject prefix (plu)
hai-
locative (sing)
uko
locative (plu)
iko
negative locative (sing)
hauko
negative locative (plu)
haiko
which/that/whom (sing)
ambao
which that whom (plu)
ambayo
consonant stem adjective prefix (sing)
m-
consonant stem adjective prefix (plural)
mi-
vowel stem adjective prefix (sing)
mw-
vowel stem adjective prefix (plu)
my- when followed by a, e, o, u
m- when followed by i
to have (sing)
una
to have (plural)
ina
to not have (sing)
hauna
to not have (plu)
haina