Useful Questions Flashcards
Unasemaje ______ katika kingereza?
how do you say ____ in english?
wewe ni nani?
who are you? (can use for profession)
nani?
what/who person
ati?
what? sheng
unafikiri hivyo?
you think so?
unafikiri kuhusu nini?
what are you thinking about?
unafikiri nini?
what do you think?
unafikiri kuhusu nani?
who are you thinking about?
kwa nini?
why?
Welcome
karibu/ karibuni
Nafurahi kukuona
Pleased to meet you
Nimefurahi kukutana nawe
pleased to meet you
Usiku mwema
good night
lala salama
sleep well
kila la kheri
good luck
Marsha marefu!
Cheers
Afya!
cheers
Vifijo!
Cheers
Nakutakia siku njema
Have a nice day
Ufurahie chakula chako (sg)
Have a nice meal
Furahieni chakula chenu (pl)
Have a nice meal
Chakula chema
Have a nice meal
Safari njema!
Have a good journey
Naelewa
I understand
Sielewi
I don’t understand
Sijui
I don’t know
Tafadhali sema polepole
Please speak more slowly
Waweza kuiandika?
Please write it down
Unazungumza Kingereza?
Do you speak English?
Unazungumza Kiswahili?
Do you speak Swahili?
Unasemaje … kwa Kiswahili?
How do you say … in Swahili?
Samahani (nipishe)
Excuse me
Ugua pole
Get well soon
Msaada!
Help!
Moto!
Fire!
Usifanye hivyo!
Stop!
Nenda zako!
Go away!
Usinisumbue!
Leave me alone!
Mwite polisi!
Call the police!
kila kitu
Everything
Hakuna kiti
Nothing
Kitu
Something
Jambo
Thing
Siye
Is not
Checki
Check out
Amekata
He hung up / cut out
chingine
Another
Lini?
When
Ngapi?
How many?
Je
How attached to end of verb
Gani?
Which?
How are questions marked?
Intonation or Je at the beginning of the sentence -je is “how is this verb done”
Hii ni nini?
What is this?
Hiyo ni nini?
What is that?
Hujinga ni Nani
Who’s the fool?